Tous les articles par Xavier Luffin

Uchunguzi wa uwapo na athari za lahaja ya kiunguja katika nyaraka za kiswahili ajami za kongo mwishoni mwa karne ya 19

SHAIBU ISSA CHAMPUNGA (ULB)

Ikisiri

Makala hii imechunguza uwapo na athari za lahaja ya Kiunguja katika nyaraka za Kiswahili Ajami za Kongo zilizoandikwa mwishoni mwa karne ya 19. Lengo likiwa kubainisha jinsi vipengele vya kiisimu vilivyoathiri mbinu za uandishi katika eneo hilo. Utafiti huu ulifanyika uwandani na maktabani. Data za utafiti zilikusanywa kwa kutumia mbinu ya upitiaji wa nyaraka za Kiswahili Ajami kama chanzo kikuu cha data. Sampuli ilihusisha nyaraka mbili za Ajami zilizoteuliwa kwa usampulishaji lengwa kutoka Makavazi Kuu ya Kifalme (APR) na Makavazi ya Chuo cha Sayansi na Sanaa cha Koreshia (HR-AHAZU). Aidha, mapitio ya tafiti kuhusu lahaja ya Kiunguja yalitumika kukusanya data za kihistoria. Uwandani, data zilipatikana kupitia usaili wa wahadhiri watatu wa Kiswahili na wapishi wawili kutoka Chuo Kikuu cha Kisangani, Kongo. Data zilichambuliwa kwa njia mseto ya takwimu na maelezo. Matokeo yanaonesha kuwa lahaja ya Kiunguja, inayozungumzwa zaidi Zanzibar na Pwani ya Tanganyika (Tanzania ya leo), iliathiri kwa kiwango kikubwa takriban asilimia 99 ya vipengele vya msamiati, sarufi na mitindo ya usemi katika nyaraka zilizochunguzwa. Kijamii, Kiunguja kilidhihirika kuwa na hadhi ya juu na kutumika kama lahaja ya rejea katika mawasiliano kati ya pwani na bara. Hivyo, makala hii inathibitisha kuwa nyaraka za Kiswahili Ajami ni nyenzo muhimu katika kuelewa historia ya kukua na kuenea kwa Kiswahili Mashariki ya Kongo.

  1. Utangulizi

Kiswahili, kikiwa lugha kuu ya mawasiliano katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati, kimepitia mchakato wa muda mrefu wa kihistoria wa kuenea, kuwasiliana na kubadilika. Kati ya vipindi muhimu katika maendeleo yake ni karne ya 19, kipindi ambacho kilishuhudia ukuaji na ueneaji wa Kiswahili kupitia shughuli za biashara, elimu ya Kiislamu na mafunzo ya kimisionari. Katika kipindi hicho, Kiswahili kilisambaa kutoka pwani hadi kufikia maeneo ya Afrika Kati, hususan Kongo, hususan katika maeneo ya mashariki, ilipokea athari kubwa za Kiswahili kupitia mawasiliano ya wafanyabiashara na walimu wa dini ya Kiislamu waliotoka Zanzibar, Ujiji na Tabora (Fabian 1968; Luffin 2020).  Kwa mantiki hiyo, nyaraka nyingi ziliandikwa kwa kutumia Kiswahili Ajami, yaani Kiswahili kilichoandikwa kwa hati za Kiarabu na kuhifadhiwa katika maktaba na makavazi mbalimbali barani Afrika, Ulaya, Asia na kwingineko (Luffin 2004, 2007, 2008, 2014). Kwa hakika, nyaraka hizo zina umuhimu mkubwa wa kitaaluma kwa zinathibitisha moja kwa moja uwapo wa lahaja za Kiswahili zilizotumika katika maeneo ya bara kabla ya kuibuka kwa Kiswahili Sanifu. Katika Muktadha huo, makala hii imechunguza uwapo wa lahaja ya Kiunguja katika nyaraka za Kiswahili Ajami zilizopatikana Kongo. Pia, inachambua jinsi athari zake zilivyojitokeza katika vipengele vya kiisimu, kama vile; kifonolojia, kimofolojia na kitahajia.

Kiambatizi Namba 1: Barua iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili Ajami na Ḥamad bin Muḥammad al-Murğabī, maarufu kama Tippu Tip, kwenda kwa Jérôme Becker, mwakilishi wa Wajerumani, tarehe 7 Septemba 1889. Nyaraka hizi zimehifadhiwa katika Makavazi Kuu ya Kifalme (Archives du Palais Royal, Bruxelles; Picha : © Xavier Luffin)

2. Nyaraka za Kiswahili Ajami

Ajami ni mfumo wa uandishi unaotumia hati ya Kiarabu kuandika lugha zisizo Kiarabu. Katika muktadha huu, Kiswahili Ajami hurejelea Kiswahili kilichoandikwa kwa kutumia hati za Kiarabu. Kwa sababu ya historia yake ya karibu na Uislamu na utamaduni wa Kiarabu, Kiswahili Ajami kilikopa na kurekebisha herufi za Kiarabu ili kuwakilisha sauti za Kiswahili. Ukuaji huu wa matumizi ya Kiswahili Ajami unahusishwa kwa karibu na kuenea kwa biashara na Uislamu maeneo ya Kongo. Katika kipindi hiki, wafanyabiashara kutoka Zanzibar na Oman waliingia Mashariki mwa Kongo kuanzia mwaka 1860, ambapo walitumia Kiswahili kama lugha ya mawasiliano na nyenzo ya kufundishia elimu dini ya Kiislamu (Fabian 1986; Luffin 2020). Kwa hiyo, wenyeji wa Kongo walifundishwa kusoma na kuandika Kiswahili kwa hati ya Kiarabu. Katika kuthibitisha hoja hii, Chifu Ngongo Lutete ni miongoni mwa vielelezo vya wenyeji waliopata ujuzi huo na kuandika Kiswahili Ajami. Aidha, nyaraka za Kiswahili Ajami kutoka Mashariki mwa Kongo zinanasibishwa na miji kama Kasongo, Nyangwe, Kindu na Kabambare, ambapo baadhi yake ziliandikwa Ujiji na Zanzibar. Katika muktadha huo, makala hii inachanganua nyaraka mbili za Ajami kutoka Maniema ili kuthibitisha uwapo na athari za lahaja ya Kiunguja katika maandishi ya Kiswahili Ajami ya Kongo yaliyoandikwa katika karne ya 19.  

3.  Matokeo ya Utafiti

Uchunguzi uliofanyika katika makala hii umebaini kuwapo ushahidi wa kiisimu unaothibitisha uwapo wa lahaja ya Kiunguja katika nyaraka za Kiswahili Ajami za Kongo. Lahaja ya Kiunguja ina sifa bainifu za kiisimu zinazoibainisha na lahaja nyingine za Kiswahili. Sifa hizo hujitokeza katika vipengele vya kifonolojia, mofosintaksia na msamiati usio wa msingi. Kwa upande mwingine, lahaja ya Kingwana inaonesha mabadiliko makubwa ya kimuundo na kileksika ikilinganishwa na Kiunguja, hali itokanayo na mwingiliano wake wa karibu na lugha za Kibantu za eneo la Kongo, kama vile Luba na Mongo (Lecoste 1954:391-393).

3.1. Uchunguzi wa Kiisimu

Sehemu inayofuata inawasilisha mifano teule ya Kingwana kinachozungumzwa maeneo ya Kisangani, ikionesha tofauti zake na Kiunguja. Data hizo zimetokana na uchambuzi wa nyaraka pamoja na taarifa zilizokusanywa uwandani kupitia usaili wa wahadhiri watatu na wapishi wawili ambao ni wazungumzaji wazawa wa Kingwana.

3.2. Mabadiliko ya Kifonolojia

Uchambuzi wa data umebaini kuwapo kwa mabadiliko mahususi ya kifonolojia katika lahaja ya Kingwana yanayoitofautisha wazi na Kiunguja. Mojawapo ya sifa zinazojitokeza ni kudhoofika kwa fonimu /g/ na kutamkwa kama [k]. Mabadiliko haya hujitokeza katika mazingira ya jozi mlingano finyu, ambapo maneno mawili hutofautiana kwa fonimu moja pekee, lakini tofauti hiyo hubeba maana tofauti. Mifano ifuatayo inaonesha hali hiyo:

Kiunguja                    Kingwana

piga ‘strike’               pika ‘cook’

ndege                         ndeke‘bird’

mguu                         mukulu‘foot’

mboga                        mboka ‘vegetable’

Chanzo: Polome 1967:28, Uwandani, 2025

Kutokana na mifano hii, tunabaini kuwa fonimu /g/ hupoteza sifa ya ughuna na kutamkwa kama [k], konsonanti isiyo ghuna. Hivyo, mabadiliko ya /g/ na /k/ katika Kingwana yanafanya kazi kama jozi mlingano finyu, kwa kuwa uhamaji wa fonimu moja unaweza kusababisha utofauti wa maana. Ili kuweka ufafanuzi wa maana kwa uwazi, tafsiri za maneno katika data hiyo zimewasilishwa kwa lugha ya Kiingereza. Aidha, matokeo ya uchunguzi yanaonesha kuwa fonimu /ɟ/ katika Kingwana hutamkwa kama [j] inapojitokeza katika mazingira ambayo haijatanguliwa na nazali. Sifa hii ya kifonolojia huonekana katika maneno kadhaa, kama inavyooneshwa hapa chini:

Kiunguja                   Kingwana

moja                           moya

kuja                            kuya

sijakwenda           siyakwenda  

Chanzo: Data ya Uwandani, 2025

Katika mifano hii, tunabaini kuwa fonimu /ɟ/ hubadilika na kutamkwa kama [j] kwa sababu haijatanguliwa na nazali. Hata hivyo, inapofuatiwa au kutanguliwa na nazali, mabadiliko hayo hayawezi kujitokeza. Kwa mfano, /nɟa/ → [ndʒa] njaa na /mɟi/ → [ndʒi] mji. Katika muktadha huo, tunaona kuwa baada ya nazali /n/ na /m/, fonimu hubakia katika umbo lake la awali badala ya kubadilika kuwa [j].

Aidha, matokeo ya utafiti yanaonesha kuwapo kwa mabadiliko huru kati ya fonimu [d] na [l], hasa fonimu hizo zinapokuwa katika nafasi ya mwanzo wa mzizi wa neno. Mifano ifuatayo inathibitisha hali hiyo:

Kiunguja                                Kingwana

kidogo                                    kiloko

mdogo                                   muloko

Chanzo: Data ya Uwandani, 2025

Kupitia mifano hiyo tunabaini kuwa katika Kingwana, fonimu [d] na [l] hubadilishana bila kuathiri maana ya msingi ya neno. Hali hiyo inaashiria kuwapo kwa mabadiliko huru ya kifonolojia katika mazingira haya. Sifa hiyo huonekana kwa upana katika maeneo mbalimbali ya Kongo yanayozungumza Kiswahili na hata Kiswahili cha Kusini Katanga kinaonesha mfanano mkubwa na mabadiliko hayo. Ulinganifu huu unabainika kwa kuzingatia historia ya lugha na athari za mazingira ya lugha za wenyeji, ambazo zilichangia kuunda mifumo mahususi ya kifonolojia katika lahaja za Kiswahili za bara.

3.3  Uchopekaji wa Konsonanti /l/

Data za utafiti zinaonesha kuwa nyaraka zilizochunguzwa zinadumisha mfumo kamili wa upatanisho wa nafsi na ngeli, pamoja na njeo, hali na matumizi ya viambishi tamati. Hali hii inatofautiana na lahaja ya Kingwana, ambayo hujitokeza mabadiliko ya kimuundo katika baadhi ya vitenzi vinavyoundwa na irabu mbili tofauti zilizofuatana. Uthibitisho mmojawapo wa mikakati inayotumika katika lahaja ya Kingwana ni uchopekaji wa konsonanti /l/ ili kuvunja mfuatano wa irabu mbili na kurahisisha matamshi. Mifano ifuatayo hapa chini inaonesha upachikaji wa konsonanti /l/ katika vitenzi vya Kingwana ikilinganishwa na maumbo ya Kiunguja:

Kiunguja                               Kingwana     

kuomba                                  kulomba

kukataa                                  kukatala

kufungua                               kufungula

kuaga                                    kulaka

Chanzo: Data ya Uwandani, 2025

Uchopekaji wa konsonanti /l/ katika mifano hii ni mabadiliko ya kimofofonolojia yanayohusishwa na muundo wa silabi wa Kingwana, unaoepuka mfuatano wa irabu mbili tofauti kwa kuingiza konsonanti patanishi. Kwa upande wa Kiunguja, mfuatano wa irabu mbili unakubalika zaidi kikanuni, bila kuhitaji uchopekaji wa konsonanti. Kwa ujumla, tofauti hii ya kimuundo ni kigezo muhimu kinachosaidia kutofautisha lahaja za bara na za pwani. Hali hii inathibitisha kwamba nyaraka za Kiswahili Ajami za Kongo zilizochunguzwa katika makala hii zinaegemea zaidi muundo wa Kiunguja kuliko Kingwana.

3.4  Sifa za Kimofosintaksia

Kiunguja hutambulika kwa uimara wake katika kufuata kanuni za upatanisho wa ngeli za nomino, mnyambuliko wa vitenzi pamoja na matumizi sahihi ya viashiria vya njeo, hali na mtazamo.  Mfano nzuri wa tofauti hizi unaonekana katika matumizi ya viwakilishi vya ngeli ya kwanza {m-wa}. Katika Kiunguja, mfumo huu hufuatwa kwa ukamilifu, ilhali katika Kingwana hutokea mabadiliko ya kifonolojia na kimuundo, ambapo kiambishi cha wingi wa- hubadilishwa na ba-. Mifano ifuatayo, inatokana na nyaraka za Saʿīd bin ʿAlī (taz. Kiambatizi Na. 2), inaonesha hali hii:

Kiunguja                    Kingwana

watoto                        batoto

wenzako                     batu banzako

wamewasili                banawasili

Chanzo: Data ya Uwandani, 2025

Mifano hii inaonesha kuwa katika Kingwana, fonimu [w] katika viambishi vya ngeli ya kwanza mara nyingi hubadilishwa kuwa [b], hali inayoathiri upatanisho wa nomino na vitenzi. Muundo huo wa kisarufi hutofautiana na Kiunguja, ambacho kinadumisha matumizi ya viwakilishi vya {m-wa} katika mazingira yote ya kisintaksia. Kwa hiyo, uwapo wa miundo ya lahaja ya Kiunguja katika nyaraka za Kiswahili Ajami za Kongo unadhihirisha kuwa maandiko hayo yaliandikwa kwa kufuata viwango vya kisarufi vya pwani, badala ya kuiga mifumo iliyorahisishwa ya lahaja za bara kama Kingwana.

3.5  Msamiati

Kiunguja hudumisha hazina ya msamiati inayokaribiana kwa kiasi kikubwa na Kiswahili cha kale pamoja na muktadha wa elimu na utamaduni wa Kiislamu. Matokeo ya utafiti huu yanaunga mkono hoja zilizowasilishwa katika tafiti tangulizi (Knappert 1967, 2005; Harries 1967; Whiteley 1959; Noor Sharif 1988) kwamba Kiunguja cha mjini kimehifadhi kwa kiwango kikubwa msamiati wa Kiswahili cha kale. Aidha, lahaja hii ina kiwango cha juu cha matumizi ya msamiati wenye asili ya Kiarabu, jambo linaloonesha uhusiano wake wa karibu na mazingira ya kidini na kielimu ya Kiislamu. Ingawa baadhi ya maneno ya Kiarabu hupatikana pia katika lahaja nyingine za Kiswahili, mzunguko na uthabiti wa matumizi yake katika Kiunguja ni dhahiri zaidi.

Msmiati         Asili                Maana                       

Mto                 Kibantu           korongo lenye maji yanayotiririka wakati wote

Mali                Kiarabu           bidhaa

Tarehe            Kiarabu           siku ya mwezi

Faida               Kiarabu           mapato

Bidhaa            Kiarabu           vitu vinavyonunuliwa na kuuzwa

Ushanga         Kibantu           useja

Chanzo: Data ya Maktabani (Kiambatizi Na. 1)

Msamiati huo unatokana na waraka wa Ḥamad bin Muḥammad al-Murğabī, ambao unaonesha kuwa zaidi ya asilimia 65 ya msamiati uliotumika una asili ya Kiarabu, hali inayotambulika kama mojawapo ya sifa bainifu za Kiswahili cha Kiunguja. Kwa kuzingatia Nadharia ya Mwingiliano wa Lugha, data hizi zinaonesha kwa uwazi athari kubwa ya Kiarabu katika Kiswahili kupitia ukopaji wa msamiati.

Hali kama hiyo inajitokeza pia katika nyaraka za Saʿīd bin ʿAlī, ambako kuna matumizi ya msamiati mwingi wenye asili ya Kiarabu, kama inavyooneshwa hapa chini:

Msamiati                   Asili                Maana

Habari                      Kiarabu           taarifa au ujumbe

Wasalaam               Kiarabu           hutumika mwishoni mwa barua

Watoto                     Kibantu           kiumbe aliyezaliwa na mtu au mnyama

Siku                            Kibantu           kipindi cha saa 24 kuanzia asubuhi

hadi asubuhi 

Wakatabahu          Kiarabu           neno lililotumika kumalizia barua

Tafadhali                   Kiarabu           neno la heshima la kuomba hisani ya mtu

Chanzo : Data ya Maktabani (kiambatizi Na.2)

Matumizi thabiti ya msamiati wenye asili ya Kiarabu na Kibantu wa Pwani ya Afrika Mashariki yanaonesha wazi kuwa nyaraka hizi zimefungamana na Kiswahili cha Kiunguja. Aidha, uwepo wa maneno ya Kiarabu yasiyobadilishwa, kama ilā janāb al-shaykh, wakāna na thamma, unaashiria athari ya moja kwa moja ya mazingira ya kidini ya Kiislamu, sifa inayohusishwa kwa karibu na lahaja ya Kiunguja.

Kiambatizi Na. 2 : Barua imeandikwa ya Kiswahili imeandikwa kwa hati ya Kiarabu, imeandikwa na Sa’īd bin ‘Alī bin Sa’īd bi Salman Kwenda kwa Salum bin Sa’īd, katika jimbo la Maniema. Imehifadhiwa HR-AHAZU – Dragutin Lerman’s Personal Fund (XV-55/II 6).

4. Hitimisho

Matokeo ya utafiti huu yanadhihirisha kwamba Kiswahili kilichoandikwa katika nyaraka za karne ya 19 kutoka Kongo, hususan katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo, kiliathiriwa kwa kiwango kikubwa na lahaja ya Kiunguja. Utafiti huu umebaini kuwa maandiko hayo yanaonesha sifa bainifu za Kiunguja katika ngazi mbalimbali za kiisimu, ikiwamo matumizi ya viambishi vya umoja na wingi katika ngeli ya kwanza, pamoja na mifumo ya kimofosintaksia inayolingana na Kiunguja cha pwani. Aidha, msamiati wenye mnasaba na dini, biashara na mtindo wa uandishi wa barua umeonesha mlingano wa karibu na Kiswahili cha Kiunguja, hali inayodhihirisha kuwa lahaja hiyo ilitumika kama rejea ya maandishi rasmi katika muktadha wa Kongo wa karne ya 19. Ulinganisho wa data hizi na maelezo ya kitaaluma yaliyotolewa na wataalamu wa awali wa Kiswahili, wakiwamo Krapf (1847), Steere (1884), Ashton (1944), Polomé (1967), Nurse na Spear (1985) na Mpiranya (2015), haukuonesha tofauti za kimsingi ambazo zingependekeza ushawishi mkubwa wa lahaja za bara kama Kingwana. Dosari chache za kitahajia zilizobainika katika nyaraka zimefafanuliwa kama tofauti binafsi za waandishi au athari za mazingira ya uandishi, badala ya kuwa viashiria vya utofauti wa kilahaja.  Hivyo basi, utafiti huu unathibitisha kwamba nyaraka za Kiswahili Ajami za Kongo ni vyanzo vya kiisimu vinavyodhihirisha nafasi ya Kiunguja katika mchakato wa kukua, kuenea na kuhalalishwa kwa Kiswahili kama lugha ya kikanda katika Afrika Mashariki na Kati.

Marejeleo

Ashton, E.O. (1944). Swahili Grammar: Including Intonation. Longman: London.

Becker, J. (1887). Life in Africa, or Three Years in Central Africa (Vol. 1). J. Lebègue.

Ceulemans, P. (1959). La question arabe et le Congo (1883-1892). Bruxelles.

Fabian, J. (1986). Language and Colonial Power: The Appropriation of Swahili in the Former Belgian Congo, 1880-1938. Cambridge: Cambridge University Press.

Freeman-Grenville, G. S. P. & Martin, B. G. (1973). A preliminary handlist of the Arabic inscriptions of the Eastern African coast. Journal of the Royal Asiatic Society of Great Britain and Ireland, 2, 98-122.

Harries, L. (1967). Swahili Poetry. Oxford: Clarendon Press.

Hichens, W. (1936). Notes on Hamziyya. Notes attached to MS 53823, SOAS, London. Published online in SOAS Special Collections.

Krapf, J. L. (1847). “Three chapters of Genesis translated into the Sooahelee language”. Journal

of the American Oriental Society 1.3: 259+261–274.

Knappert, J. (1967). Four Centuries of Swahili Verse. London: Heinemann.

Knappert, J. (2005). Swahili Culture. Lewiston, NY: Edwin Mellen Press.

Lecoste, B. (1954). Ngwana: Congolese variety of Swahili. Kongo-Overzee, 20, 391-408.

Luffin, X. (2007). About some Swahili documents from Congo (19th century). Swahili Forum, 14, 17-26.

Luffin, X. (2008). The first Arab explorations of the Congo according to an Omani source: The Juhaynat al-akhbār fī tārīkh Zinjibār of Saʿīd bin ʿAlī al-Mughīrī. Annales Aequatoria, 29, 425-445.

Luffin, X. (2014). Swahili Documents from Congo (19th Century): Variation in Orthography. Leiden: Brill.

Luffin, X. (2017). Arabic and Swahili documents from the pre-colonial Congo and the Congo Free State (1885-1908): Who were the scribes? In The Arts and Crafts of Literacy: Islamic Manuscript Cultures in Sub-Saharan Africa (pp. 279-303). Leiden: Brill.

Luffin, X. (2020). Un autre regard sur l’histoire congolaise: Les documents arabes et swahilis dans les archives belges (1880-1899). Fontes Historiae Africanae.

Mpiranya, F. (2015). Swahili Grammar and Workbook. Routledge.

Nurse, D. & Spear, T. (1985). The Swahili: Reconstructing the History and Language of an African Society, 800-1500. Philadelphia: University of Pennsylvania Press.

Nurse, D., Hinnebusch, T. J. & Philipson, G. (1993). Swahili and Sabaki: A Linguistic History. Berkeley: University of California Press.

Polomé, E. C. (1967). Swahili Language Handbook. Washington, DC: Center for Applied Linguistics.

Steere, E. W. (1884). A Handbook of the Swahili Language, as Spoken at Zanzibar. London: Universities’ Mission to Central Africa.

Whiteley, W. H. (1959). Introduction to the local dialects of Zanzibar. Swahili, 30, 41-69; 31, 200-218.

Kiambatizi Na. 1: Barua iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili Ajami na Ḥamad bin Muḥammad al-Murjabī, maarufu kama Tippu Tip, kwenda kwa Jérôme Becker, mwakilishi wa Wajerumani, tarehe 7 Septemba 1889. Nyaraka hizi zimehifadhiwa katika Makavazi Kuu ya Kifalme (Archives du Palais Royal, Bruxelles). (Picha: © Xavier Luffin)

Unukuzi

Mimi Ḥamad bin Muḥammad bin Jum’a al-Murjabī nauliza katika kampuni Dawlat Belgiki napenda kufanya biashara kwa shirika mimi na Bwana Becker, mali kadri yanayotoka kwa bibi, katika mto wa Kongo na Ujiji na kwa Kasongo kila mahala kana (kama) mwapenda kufanya biashara kwa nusu faida. Niletea bidhaa niarifuni saari ya mali zote shaba na ushanga na bidhaa kila namna na Merikani na walete ushanga samesame na ushanga mweupe na aina zote zinazofaa anazijua Bwana Becker. Nataka kujua kila kitu kwa saari yake, kama hampii shirika mimi na Bwana Becker kama mwataka kuleta mali nifanye biashara kwa mshahara yote niarifuni nitafanyabiashara kila mahala nileteni saari zote nizijue thamani yake na gharama yake yote hata kufika Kizingitini ikanihalifu hauna fima tapata faida tupate patina. Wasalam. Ḥamad bin Muḥammad tarehe 27 Shawwal 1306.

Kiambatizi Na. 2

Kiambatizi namba 2: Barua imeandikwa ya Kiswahili imeandikwa kwa hati ya Kiarabu, imeandikwa na Sa’īd bin ‘Alī bin Sa’īd bi Salman Kwenda kwa Salum bin Sa’īd, katika jimbo la Maniema. Imehifadhiwa HR-AHAZU – Dragutin Lerman’s Personal Fund (XV-55/II 6).

Nukuu

Ilā janāb al-shaykh Sa’īd bin ‘Alī bin Sa’īd mikusalimu mimi ndugu yako, Sa’īd bin ‘Alī bi Salman bin ‘Alī wakāna sandihimind Sharif nimekusalim mimi Saīd bin Alī ndugu yako. Salaam wote na salaam Kafama? Na wenzako tafadhali na Sharifu Kafima na wenzako Allah Allah thamma Allah musifanye maliri tafadhalini ndugu zangu. Wakāna nawajabura Abdala salama Wakana faraza sāmu wakāla siriki salāmu namuzi munuri salām wote jamī‘a ya watoto, salām wajabara wote. Salāmu na sisi na hatta tuliyo mbali hatujambo sote watoto hiyo ndiyo ḥabari ya yakasaka na sisi hatujuwi siku za kuja na sisi hapa mufukuto tuna shūka. Wassalamu, wakatibu Sa’īd bin ‘Alī bi Salman bin ‘Alī.

Shukrani

Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa msimamizi wangu, Profesa Xavier Luffin (ULB), na mwenyeji wetu nchini Kongo, Profesa Oyoko Hamzat Hamza (UNIKIS), kwa kufanikisha safari za kwenda uwandani-Kongo mwaka 2024 (Kindu na Kasongo) na 2025 (Kisangani na Kirundu). Pia, walisaidia upatikanaji wa data kadhaa zilizotumika katika utafiti huu. Asanteni sana.

Documents arabes et swahilis de la diaspora congolaise en Tanzanie. Mission exploratoire à Bagamoyo (février 2025)

Une contribution de Jihan Safar (post-doctorante Marie Curie, ULB) et Xavier Luffin (Professeur, ULB)

Résumé. – En février 2025, Jihan Safar et Xavier Luffin ont effectué une mission exploratoire à Bagamoyo, sur la côte tanzanienne, à la recherche de l’héritage écrit de la communauté originaire du Maniema (RDC), et notamment de la famille du célèbre Cheikh Ramiya, membre important de la confrérie soufie de la Qadiriyya.

Les travaux de notre équipe de Kalamu na wino portent essentiellement sur les usages de l’écriture arabe au Congo (actuelle RDC), qu’elle s’applique à la langue arabe ou au kiswahili. La fermeture provisoire du terrain congolais nous a amenés à explorer des terrains alternatifs. Parmi ces derniers, Bagamoyo, ville située sur la côte est de la Tanzanie face à l’île de Zanzibar, occupe une place toute particulière : au 19e siècle, Bagamoyo était l’un des points de départ et d’arrivée des caravanes de commerçants arabo-swahilis impliquées dans le commerce de l’ivoire et des esclaves, ces derniers étant transportés de l’intérieur des terres vers la cité portuaire de Bagamoyo pour être ensuite débarqués à Zanzibar. En effet, parmi les nombreuses routes commerciales, l’un des principaux axes s’étendait de l’est du Congo (le Maniema) jusqu’à Bagamoyo, en passant par Kigoma, Tabora ou Ujiji.

Bagamoyo, carrefour des circulations religieuses

Une première visite à Bagamoyo avait été effectuée par Jihan Safar et Shaibu Champunga, également membre de notre équipe et doctorant à l’ULB, en janvier 2025, afin d’établir les premiers contacts. En février, nous sommes retournés à Bagamoyo. Notre objectif était d’identifier des sources arabes et swahilies, notamment des archives familiales, et de nous entretenir avec les membres de la communauté originaire du Maniema installés depuis des générations dans cette ville autrefois arabe, mais aussi ailleurs dans le pays, communauté que l’on nomme encore aujourd’hui Wamanyema, littéralement « les gens du Maniema. » La grande ville portuaire de Dar es Salam, ancienne capitale du pays, abrite d’ailleurs une mosquée appelée Masjid Manyema, « la mosquée du Maniema », dans le quartier populaire de Kariakoo.

Parmi les nombreux facteurs qui participent à expliquer notre intérêt pour Bagamoyo, figure le Cheikh Yahya Ramiya (1853-1932). Originaire du Maniema et capturé enfant au Congo, le Cheikh Ramiya fonde vers 1905 la branche de la Qadiriyya (al-Qādiriyya en arabe) de Bagamoyo, l’une des plus importantes confréries soufies en Tanzanie et plus généralement en Afrique de l’Est, y compris dans l’est de la RDC. L’accès à la famille Ramiya nous été rendu possible par la médiation du Cheikh Omar bin Yahya Ramiya, en présence de Ramazani Muhsin, un muridi (disciple) de la Qadiriyya. Ramazani nous a permis de rencontrer plusieurs membres de la famille du Cheikh Yahya Ramiya, dont son arrière-petite-fille, elle-même une muridi, ainsi qu’une de ses petites-filles, qui ont notamment mentionné le rôle actif des épouses et des huit filles du Cheikh Ramiya dans la diffusion de l’islam à Bagamoyo.

Les archives familiales du Cheikh Mohammad Ramiya 

Lors de notre visite au domicile du Cheikh Omar, nous avons pu consulter et photographier d’importants documents, à l’instar de la silsila (arbre généalogique de l’ordre de la Qadiriyya) constituée d’une dizaine de pages et qui fait remonter la chaine au Cheikh ‘Abd al-Qādir al-Jīlānī (érudit persan du 11e siècle et fondateur éponyme de la Qadiriyya).

Nous avons pu également consulter des écrits datant de l’époque du Cheikh Mohammad Ramiya (1905-1985), fils du Cheikh Yahya Ramiya, qui lui succéda dans la confrérie et qui occupa une place politique et religieuse majeure à Bagamoyo. Les carnets de ses élèves ont également toute leur importance puisqu’ils donnent à lire des textes religieux en arabe, des annotations écrites en kiswahili (en caractères arabes), ainsi que des archives familiales insérées mentionnant le mariage et le mahr (dot) de la fille, confirmant la présence de l’écriture arabe et ajamie jusqu’au milieu du 20e siècle et dans un contexte de latinisation du kiswahili. 

Autre document fondamental à la compréhension de notre objet, le tawassul (« intercession » en arabe) arrangé par le Cheikh Mohammed Ramiya lui-même. Ce document d’environ 40 pages que nous avons pu observer (en version photocopiée) contient des louanges versifiées en arabe et est utilisé lors des récitations (dhikr) aussi bien par les hommes que par les femmes.

ill. 1 : Préparation d’un kombe à Bagomoyo (Photo : Jihan Safar)

Des rites d’initiation confrérique selon le genre

À cet égard, l’autre objectif de notre mission était précisément d’interroger les liens entre texte et genre, savoir si les femmes et les hommes font usage des mêmes sources textuelles lors des pratiques religieuses. Les muridi (disciples) et murshidi (guides) rencontrés grâce à Mariam Ramiya, fille du Cheikh Mohammad Ramiya, ont confirmé utiliser les mêmes textes lors des séances de lectures et récitations. La femme peut aussi obtenir une ijaza octroyée par le Cheikh, lui donnant ainsi accès au statut de muridi, confirmant ainsi de nouveau la participation des femmes à la littéracie. Parmi les ouvrages en arabe utilisés par les fidèles, nous avons repéré ceux du fondateur, ‘Abd al-Qādir al-Jīlānī (11e siècle) : Al-safīna (« Le navire »); Al-Fuyūḍāt al Rabbāniyya (« Les émanations de la Grâce divine ») ; Sirr al-asrār (« Le secret des secrets »), ainsi qu’al-Jawhar al-Nafīs fi Khawāṣṣ al-Shaykh Uways (« Le précieux joyeux à propos des caractéristiques Shaykh Uways ») – reprenant un récit autobiographique et des poèmes d’Uways al-Barāwī (m. 1909), un shaykh de Brava, en Somalie, membre de la Qadiriyya et fondateur de sa propre banche, appelée al-Uwaysiyya.

Nous avons aussi assisté à des manifestations religieuses où la textualité était engagée, à l’exemple du maulidi (célébration de la naissance du prophète, al-mawlid al-nabawī en arabe) à laquelle nous avons été conviés en compagnie de Ramazani Muhsin, vêtu pour l’occasion d’une cape verte, et en présence de l’actuel Cheikh de la confrérie, Yahya Ramiya, fils du Cheikh Mohammad Ramiya. Hommes et femmes étaient réunis sous une tente montée et ornée de drapeaux de la Qadiriyya, au centre d’une place de l’un des quartiers musulmans de Bagamoyo. L’imam de la mosquée, Cheikh Abdurrahman Mezza, nous a présentés et chaleureusement accueillis devant la foule.  Puis, des groupes d’hommes de plusieurs madrasas ont récité des kasidas (poèmes en arabe et kiswahili, de l’arabe qaṣīda) et des nashīd (hymnes) jusqu’à l’aube, accompagnés par le battement de tambourins et le balancement dynamique des têtes et corps des filles vêtues de tuniques orange. 

Des pratiques textuelles des marges

Durant notre mission, nous avons pu également observer d’autres formes de pratiques textuelles moins conventionnelles.  Mobilisant l’écriture de versets coraniques, ces expériences engagent les communautés dans un rapport intime au sacré et au savoir. Jihan Safar a pu assister à la préparation par une femme de la communauté d’un kombe, un remède thérapeutique ou médicament (dawa) qui consiste à « boire les versets sacrés » (ill. 1). La guérisseuse avait d’abord écrit des versets coraniques (extraits de sourate al-Ikhlāṣ) sur un papier blanc avec de l’encre de safran, qu’elle a ensuite trempé dans un bol d’eau. Les mots sacrés se sont dilués, transformant l’eau en un liquide rouge transvasé ensuite dans une bouteille. Notre guérisseuse prépare aussi des kombe non destinés à être bu mais jetés à la mer, à la demande par exemple de certains pêcheurs de Bagamoyo sollicitant un kombe en guise de protection et de bonne fortune.

ill. 2 : Préparation d’un dawa à partir du livre attribué à al-Ghazali, al-Awfāq (photo : Xavier Luffin)

Autre pratique impliquant l’écriture de versets coraniques, l’Umwali, une cérémonie d’initiation sexuelle pour les filles avant le mariage, décrite notamment par P. Salmon pour le Congo. L’initiatrice ou somo (du verbe kusoma, qui signifie « lire » en kiswahili) éduque les filles à la vie conjugale et morale. Au début du rituel, la somo noue un ruban noir autour de son bras à l’intérieur duquel se trouve un papier où des versets coraniques sont inscrits (extraits notamment des sourates al-Fātiḥa et Yāsīn). Jihan Safar a également pu rencontrer une somo originaire du Maniema, dont la grand-mère et la mère étaient aussi des initiatrices de l’Umwali, témoignant de l’influence de la communauté originaire du Maniema dans la perpétuation de certaines pratiques à Bagamoyo.

Cela nous a d’ailleurs conduit à rencontrer la personne qui fabrique ces talismans de l’Umwali. Originaire lui aussi du Maniema, il mobilise dans ses pratiques textuelles un savoir où la numérologie et la gématrie, ‘ilm al-abjad en arabe (utilisation de lettres du coran pour créer des symboles sacrés et des  carrés magiques) tient une place importante, comme nous avons pu le constater avec son utilisation de l’ouvrage intitulé al-Awfāq – les carrés magiques – attribué à l’imam al-Ghazālī, théologien persan du 11e siècle (ill. 2), dont des exemplaires circulent aussi dans le Maniema, et que l’on peut acheter également près de certaines mosquées de Kariakoo, à Dar es Salam, même si ce genre de textes est réprouvé par les courants plus rigoristes. Par ailleurs, la plante moba utilisée dans ses pratiques provient de Kasongo, attestant encore une fois des liens entre Bagamoyo et le Maniema.

Ill. 3 : Jihan Safar et Ramazani Muhsin près des tombes de la famille Ramiya (photo : Xavier Luffin)

Nous avons enfin eu l’opportunité de visiter la tombe du Cheikh Yahya Ramiya qui repose dans son mausolée et de celle du Cheikh Mohammad Ramiya qui repose quant à elle à l’extérieur, aux côtés d’autres membres de la famille Ramiya et de la Qadiriyya (ill. 3). Les vendredis, fidèles et élèves de la zāwiya (le lieu de réunion des adeptes de la confrérie) s’y rendent pour faire le tawassul (intercession). Le tawassul fera d’ailleurs l’objet d’un article académique à venir de notre part. 

ill. 4 : Vue depuis le Caravansérail (photo : Xavier Luffin)

Enfin, nous avons visité d’autres lieux importants de la culture arabo-swahilie de Bagomoyo, comme le Caravansérail (ill. 4), un bâtiment du 19e siècle qui était le lieu de transit du commerce d’esclaves, désormais transformé en musée (Caravan Serai Slave Trade Museum), ainsi que le Musée historique catholique (Catholic Historic Museum), qui contiennent tous deux des objets et des documents intéressants. Le Musée historique catholique expose notamment quelques documents en arabe et en kiswahili ‘ajami, dont deux pages tirées d’un long poème manuscrit, le Utenzi wa Rasilghuli, composé vers 1850 par Mgeni Faqihi, un poète originaire de Tumbatu qui s’était installé à Bagamoyo (ill. 5).

ill. 5 : Un exemplaire manuscrit du Utenzi wa Rasilghuli, poème swahili de Mgeni Faqihi, Musée historique catholique de Bagamoyo (photo : Jihan Safar)

Ce poème, qui est en réalité la traduction swahilie d’un récit populaire arabe faussement attribué à Abū’l-Hasan al-Bakrī à propos de la conquête du Yémen par Muḥammad, ne semble plus connu aujourd’hui de la communauté musulmane, mais il était autrefois récité en Tanzanie et même dans l’est du Congo, comme le mentionne Detry en 1912 à propos des livres circulant à Stanleyville (Kisangani).

Nous tenons à remercier Ramazani Muhsin et Mariam Ramiya pour leur aide et leur hospitalité durant notre séjour. Nous exprimons également toute notre gratitude à la communauté de Bagamoyo et à toutes les personnes rencontrées qui ont partagé avec nous leur histoire. 

ill. 6 : Rivage de Bagamoyo, près du marché au poisson (photo : Xavier Luffin)

Bibliographie :

Becker, F. M., “The Qadiriyya in East Africa.” Oxford Islamic Studies Online, 2012.

Detry A., A Stanleyville, Liège, J. Lebègue, 1912.

Luffin, X., The Circulation of Books among Muslims in Congo during
Colonial Times: Arthur Detry’s Account (1912) of Stanleyville
(Kisangani), Journal des Afdricanistes, 2025, 94, 1-2(https://journals.openedition.org/africanistes/)

Nimtz, A. H., Islam and Politics in East Africa. The Sufi Order in Tanzania. Minneapolis, University of Minnesota Press, 1980

Salmon, P., L’umwali: une école d’amour africaine, in Histoire sociale de l’Afrique de l’Est (XIXe-XXe siècle), Karthala, Paris, page (497-519)
Publication Publié, 1991

Van Kessel L., Utenzi wa Rasi’lghuli, Dar es Salam, Tanzania Publishing House, 1979.

The Long Journey of a 13th-century Arab Poem in Africa. al-Busiri’s “Mantle” in Congo

Xavier Luffin (Université libre de Bruxelles)

From the end of the 19th century and throughout the colonial period, European observers generally described – with a few exceptions – the Arab and Swahili traders settled in Congo as people essentially, if not exclusively interested in trade, pious indeed, but little concerned with culture. A first glance at the documents found in the various Belgian colonial archives – those of the Royal Museum for Central Africa (now AfricaMuseum) in Tervuren and the African Archives in Brussels in particular – seemed to prove them right: trade letters, contracts, lists of merchandise, and treaties made up the bulk of the documents that are preserved.

But a closer look at the archives quickly contradicted this initial impression. First of all, a number of books in Arabic – copies of the Koran, prayer books, astrology and magic books – from Maniema and Stanleyville, as well as from the far north-east of the country (Uele and the enclave of Redjaf-Lado, now part of South Sudan but attached to the Congo Free State until 1908), were also among the Arabic and Swahili documents brought back at the end of the 19th century. Lastly, certain passages of varying length from Arabic texts, and more rarely from Swahili, were to be found in certain documents of a seemingly commercial nature.

One such document is a notebook found in Stanley Falls (now Kisangani), that belonged to two traders from the Swahili Coast, as indicated by a notice on the second page: “dated the 12th of the month of jumādā al-ākhar 1309 [January 13, 1892]. This notebook belongs to the humble servant of God Most Great, Sa’īd bin Thābit bin Sulaymān, and to Ḥabīb bin Sa’īd bin Hāmīd.” Sa’īd bin Thābit bin Sulaymān, also known as Saidi bin Sabiti in Kiswahili, is a well-known figure in the history of the city of Kisangani: nephew of Tippo-Tip, he was appointed representative of the Muslims of Stanleyville by the colonial authorities as early as 1894, and remained so until his death in 1899. His descendants continue to play an important role in the community to this day. The notebook, now kept at the Royal Museum for Central Africa in Tervuren, was brought back to Belgium by a Belgian officer, Nicolas Tobback (1859-1905), who was stationed at Stanley Falls from 1888 to 1893.

It’s a European-style notebook, measuring 16 cm by 20 cm, filled with lined sheets and fitted with a black canvas cover. The notebook’s owners wrote down all sorts of things, mostly in Arabic, but also sometimes in Swahili with Arabic characters: lists of goods, transactions related to the purchase of ivory in exchange for cloth, drafts or copies of missives, but also magic squares, passages from a book of magic, and so on. On the 14th page (illustration 1), following the recording of a commercial transaction and before a magic square on the following page, there are two verses of Arabic poetry, preceded by the basmalla (the invocation of God in Arabic: “In the Name of God, Clement and Merciful”):

أَمِنْ تَذَكُّرِ جِيرَانٍ بِذِي سَلَمِ    مَزَجْتَ دَمْعًا جَرَى مِنْ مُقْلَةٍ بِدَمِ

أَمْ هَبَّتِ الرِّيحُ مِنْ تِلْقَاءِ كَاظِمَةٍ    وَأَوْمَضَ البَرْقُ فِي الظَّلْمَاءِ مِنْ إِضَمِ

Ill. 1: An extract from the notebook of Sa’īd bin Thābit and Ḥabīb bin Sa’īd, Tobback Papers, RMCA.

These two verses are in fact the incipit of a long poem – 161 verses – very famous throughout the Muslim world, by an Egyptian Sufi poet of North African origin, Sharaf al-Dīn al-Būṣīrī (1213-1294), who praises Muḥammad. Here is the English translation of these two verses, made by the renowned British Orientalist J. W. Redhouse (1811-1892) in 1880[1] :

« Is it from a recollection of neighbours at Dhū-Salam that thou hast mixed with blood the tears flowing from an eyeball?

Or, has the wind blown from the direction of Kādzima, and has the lightning gleamed in the darkness from Itzam? »

The poem goes on:

« What ails thy two eyes? If thou sayest, ‘Leave off,’ they fill. And what ails thy heart? If thou sayest, ‘Be tranquil,’ it is perplexed.

Does the deeply-entangled lover suppose that affection can be concealed, when it is being partly wept for, and partly suffered for?

Were it not for fondness, thou hadst not shed tears over projecting ruins, neither hadst thou remained sleepless with the memory of the moringa-tree and the long hill.

And how wilt thou deny love, when the truth-speaking witnesses, tears and wasting, have testified to it against thee,

And ardour hath fixed upon thy cheeks the two lines of grief and woe, like unto the corn-marigold and the ‘anam?“

Yea! The phantom of her I love passed before me, and made me sleepless. For love doth dash delights with pain… »

The poem is generally referred to as Qaṣīdat al-Burda (“The Ode of the Mantle”) or simply al-Burda (“the Mantle”), although its true title is actually Al-kawākib al-durriyya fî madḥ khayr al-bariyya, “The Shining Stars in Praise of the Most Perfect of Creatures.” The poem’s popular name derives from an event surrounding its composition, according to some commentators: the poet, suffering from paralysis, composed this poem one day, then began to invoke God in order to heal him. Once asleep, he saw Muḥammad in a dream placing a cloak over him after laying his hand on his ailing body. When he awoke, al-Būṣīrī was cured… 

The 161 lines that make up the poem all end with the rhyme -mi, constituting what is known in Arabic as a mīmiyya[2], and are subdivided into several parts: a prelude, which follows the canons of classical Arabic poetry, followed by Muḥammad’s virtues, a description of his birth, the miracles attributed to him, a description of the virtues of the Koran, Muḥammad’s Night Journey, the battles he won, his power of intercession and finally prayers.

The poem was, and still is, recited or sung throughout the Muslim world, particularly in Sufi circles, on various occasions, including Mawlid, the celebration of Muḥammad’s birth. Numerous copies of the poem circulated and still circulate in East Africa, including in the libraries of certain mosques such as Riyadha Mosque in Lamu (Kenya), suggesting that it was part of the curriculum for students in the region.

The poem also addresses the question of intercession – al-tawassul or al-shafâ’a in Arabic, from which the poet himself benefited according to the account given above – as in verses 86-87, again according to Basset’s translation:

« How many hath his [Muhammad’s] hand cured by the touch who were diseased; and hath skilfully set free from the halter of insanity!

And his prayer hath made the year of drought to be alive—so that it hath been told of as a chief [year] among the times of rich vegetation. »

This is why some of these verses are also used to ensure the healing of the sick or to make talismans, as explained by Redhouse in the introduction of his translation. A late work by the Egyptian scholar al-Bājūrī (d. 1860) devoted to al-Būṣīrī’s poem explains how to take advantage of al-Burda’s verses for therapeutic, but also magical purposes: to protect oneself from thieves, from certain illnesses such as epilepsy, from wild animals, but also to give courage to warriors and even help foreign slaves learn Arabic easily…  This may also explain why only the first two lines of the poem appear in the notebook, which is otherwise full of squares and magic formulas: Saidi bin Sabiti undoubtedly knew the whole poem or part of it by heart, but he had deliberately noted down only the two lines used for a specific request for intercession.

Such was al-Burda’s success in the Muslim world that it led to its translation into many languages: Persian, Turkish, Malay, and later, probably in the 19th century, Swahili – several manuscript copies have been found in various archives on the Tanzanian coast – and has been the subject of much commentary. Here are the first two verses in Swahili[3] :

« Ni kwa kukumbuka jirani wema

walioko hapo bi Dhi Salama

umelitanganya tozi kwa dama

kwamba ma‘anaye ni haya sema.

Amma ni upepo kupita kwake

kutoka Kadhima janibu zake

amma ni umeme kwa nuru yake

kuinuka kiza hapo Idhama ? »

The Swahili translation has been expanded with an eleven-line prologue in which the translator explains his approach (in the third line, he says: “I have translated and explained [this poem], I have clarified its meaning, because Arabic has a hidden meaning that not everyone can grasp”) and a 19-line epilogue. I have not – not yet – found any trace of this Swahili translation in Congo. In September 2023, in Kisangani, I showed a photograph of the page to Oyoko Hamzati Hamza, who immediately recited, from memory, the first verses of the Burda in Arabic, following a particular prosody. In the days that followed, I saw these same verses reproduced in various copies of Majmū’ al-mawlid printed in India (illustration 2), a collection of poems read on the occasion of Mawlid. A few months later, I saw similar copies again in Kasongo, Maniema. So, poetry has had its place in the culture of the Muslim community for over a century…

Ill. 2: al-Burda, taken from a copy of Majmū‘ al-mawlid, Kisangani 2023]

By way of an epilogue, I’d like to mention the astonishing continuation of this poem’s journey from Africa: as early as the 18th century, many of the slaves sent from the Gulf of Guinea to the Americas were Muslims, and some of them literate. In recent years, several interesting studies have been carried out on the few documents they left behind, notably talismans composed by Hausa scholars, the Malé, who instigated a famous slave revolt in Bahia, Brazil, in 1835. It was following the suppression of this revolt and the arrest of the insurgents that several of their talismans written in Arabic characters were seized as evidence and preserved. One of them contains a verse from the famous Qaṣīdat al-Burda, which one of these erudite slaves taken from West Africa to work on Brazilian plantations had memorized and reused, in the manner of the two verses in our notebook, thousands of miles from his native land, for its protective virtues…[4]

Notes


[1] Published in W. A. Clouston, Arabian Poetry for English Readers, Glasgow, 1881.

[2] A poem whose each verse ends with -mi.

[3] J. Knappert, Swahili Islamic Poetry, Leiden, Brill, II, p. 165. The Hamziyya of al-Būṣīrī, mentioned above, was also translated into Kiswahili.

[4]  See for instance N. Dobronravin, « Nao so Mandingas… », Afro-Ásia, 53 (2016), 185-226.

Le long voyage d’un poème arabe du 13e siècle en Afrique. « Le manteau » d’al-Busiri au Congo

Une contribution de Xavier Luffin (Université libre de Bruxelles)

Dès la fin du 19e siècle et durant toute la période coloniale, les observateurs européens décrivaient généralement – à quelques exceptions près – les commerçants arabes et swahilis installés au Congo comme étant des gens essentiellement, voire exclusivement intéressés par le négoce, pieux certes, mais peu soucieux de culture. Un premier coup d’œil aux documents retrouvés dans les différents fonds d’archives coloniales belges – ceux du Musée Royal de l’Afrique centrale à Tervuren et des Archives Africaines de Bruxelles notamment – semblait leur donner raison : lettres commerciales, contrats, listes de marchandises, reconnaissances de dette et autres traités constituaient l’essentiel des documents conservés.

Mais une analyse plus approfondie de ces archives vint rapidement contredire cette première impression. Tout d’abord, quelques livres en arabe – des exemplaires du coran, des recueils de prières, mais aussi des ouvrages d’astrologie et de magie – provenant tant du Maniema et de Stanleyville que de l’extrême nord-est du pays (l’Uele et l’enclave de Redjaf-Lado, aujourd’hui en territoire sud-soudanais mais rattaché à l’Etat indépendant du Congo jusqu’en 1908) faisaient également partie des documents arabes et swahilis ramenés à la fin du 19e siècle. Enfin, certains passages plus ou moins longs de textes arabes, plus rarement swahilis, se retrouvaient dans certains documents en apparence de nature commerciale.

L’un de ces documents est un cahier retrouvé aux Stanley Falls (aujourd’hui Kisangani), ayant appartenu à deux commerçants venus de la côte swahilie, comme l’indique une notice à la deuxième page : « en date du 12 du mois de jumādā al-ākhar 1309 [13 janvier 1892]. Ce cahier appartient à l’humble serviteur de Dieu Très Grand, Sa‘īd bin Thābit bin Sulaymān, et à Ḥabīb bin Sa‘īd bin Hāmīd. » Sa‘īd bin Thābit bin Sulaymān, aussi connu sous le nom de Saidi bin Sabiti en kiswahili, est un personnage bien connu de l’Histoire de la ville de Kisangani : neveu de Tippo-Tip, il fut nommé représentant des musulmans de Stanleyville par les autorités coloniales dès 1894, et le resta jusqu’à sa mort en 1899. Ses descendants continuent de jouer un rôle important dans la communauté jusqu’aujourd’hui. Le cahier, désormais conservé au Musée Royal de l’Afrique centrale à Tervuren, fut ramené en Belgique par un officier belge, Nicolas Tobback (1859-1905), qui fut notamment en poste aux Stanley Falls de 1888 à 1893.

C’est un cahier de facture européenne, mesurant 16 cm sur 20 cm, rempli de feuilles lignées et muni d’une couverture en toile noire. Les propriétaires du cahier y notaient toutes sortes de choses, en arabe surtout, mais aussi parfois en kiswahili en caractères arabes : des listes de marchandises, des transactions liées à l’achat d’ivoire en échange de tissus, des brouillons ou des copies de missives, mais aussi des carrés magiques, des passages d’un livre de magie, etc. à la 14e page , à la suite de l’enregistrement d’une transaction commerciale et avant un carré magique à la page suivante, figurent deux vers de poésie arabe, précédés de la basmalla (l’invocation de Dieu en arabe : « Au Nom de Dieu Clément et Miséricordieux ») :

أَمِنْ تَذَكُّرِ جِيرَانٍ بِذِي سَلَمِ    مَزَجْتَ دَمْعًا جَرَى مِنْ مُقْلَةٍ بِدَمِ

أَمْ هَبَّتِ الرِّيحُ مِنْ تِلْقَاءِ كَاظِمَةٍ    وَأَوْمَضَ البَرْقُ فِي الظَّلْمَاءِ مِنْ إِضَمِ

Un extrait du cahier de Sa‘īd bin Thābit et Ḥabīb bin Sa‘īd, Papiers Tobback, MRAC. Xavier Luffin, 2024.

Ces deux vers sont en réalité l’incipit d’un long poème – 161 vers – très célèbre dans l’ensemble du monde musulman, dû à un poète soufi égyptien d’origine maghrébine, Sharaf al-Dīn al-Būṣīrī (1213-1294), qui y fait l’éloge de Muḥammad. Voici la traduction française de ces deux vers, établie par le célèbre arabisant français René Basset (1855-1924) et publiée en 1894[1] :

« Est-ce le souvenir des voisins de Dhu Salam[2] qui fait couler de tes yeux des larmes mêlées de sang ?

Est-ce le vent qui souffle de Kâzimah, ou l’éclair qui brille dans les ténèbres, du côté d’Idham ? »

Le poème continue ainsi :

« Qu’ont donc tes yeux à verser des pleurs, quand tu les avertis de cesser, et pourquoi, lorsque tu dis à ton cœur : Prends le dessus, continue-t-il à être éperdu ?

L’amoureux pense-t-il pourvoir dissimuler sa passion, quand elle se manifeste par les larmes et un cœur brûlant ?

Si ce n’était l’amour, tu ne répandrais pas de pleurs sur les traces d’un campement : le souvenir de ce saule musqué et de ce point de repère ne te causerait pas d’insomnie.

Et le souvenir des tentes et de celles qui les habitaient ne t’aurait pas donné un extérieur affligé et misérable.

Comment nierais-tu ton amour, alors que la maladie et tes larmes prêtent contre toi un témoignage sincère ? … »

On appelle généralement ce poème Qaṣīdat al-Burda (« L’ode du manteau ») ou tout simplement al-Burda (« le Manteau »), même si son véritable titre est en réalité Al-kawākib al-durriyya fî madḥ khayr al-bariyya, « Les astres brillants à propos de l’éloge de la plus parfaite des créatures. » L’appellation populaire du poème provient d’un événement qui aurait entouré sa composition selon certains commentateurs : le poète, atteint de paralysie, composa un jour ce poème, puis se mit à invoquer Dieu afin de le guérir. Une fois endormi, il vit en songe Muḥammad poser un manteau sur lui après avoir placé la main sur son corps malade. À son réveil, al-Būṣīrī était guéri…[3]

Les 161 vers qui composent le poème se terminent tous par la rime –mi, constituant ce que l’on appelle en arabe une mīmiyya[4], et se subdivisent en plusieurs parties : un prélude, qui suit les canons de la poésie arabe classique, suivi des vertus de Muḥammad, d’une description de sa naissance, des miracles qui lui sont attribués, d’une description des vertus du coran, du Voyage nocturne de Muḥammad, des batailles qu’il a remportées, de son pouvoir d’intercession et enfin de prières.

Le poème était, et est encore, récité ou chanté dans l’ensemble du monde musulman, en particulier dans les milieux soufis, à diverses occasions, notamment le Mawlid, la célébration de la naissance de Muḥammad. De nombreuses copies du poème circulaient et circulent encore en Afrique de l’Est, y compris dans les bibliothèques de certaines mosquées comme celle de Riyadha à Lamu (Kenya), ce qui permet de penser qu’il faisait partie du curriculum des étudiants de la région[5].

Par ailleurs, le poème aborde la question de l’intercession – al-tawassul ou al-shafâ‘a en arabe, dont le poète lui-même a bénéficié selon le récit repris plus haut – comme dans les vers 86-87, toujours selon la traduction de Basset :

« Que de malades n’a-t-il pas guéris par l’attouchement de sa main et que de malheureux il a tirés des liens de la démence,

Sa prière a rendu la fertilité à l’année stérile, au point que, dans les temps sombres, elle brillait comme l’étoile au front d’un cheval. »

C’est pourquoi certains de ces vers sont aussi utilisés pour assurer la guérison des malades ou encore pour la confection de talismans – un ouvrage tardif du lettré égyptien al-Bājūrī (m. 1860) consacré au poème d’al-Būṣīrī explique comment tirer profit des vers d’al-Burda à des fins thérapeutiques, mais aussi magiques : se protéger des voleurs, de certaines maladies comme l’épilepsie, des animaux sauvages, mais aussi donner du courage aux guerriers et même aider les esclaves étrangers à apprendre facilement l’arabe…[6] Cela pourrait d’ailleurs expliquer la raison pour laquelle seuls les deux premiers vers du poème figurent dans le cahier, par ailleurs rempli de carrés et de formules magiques : Saidi bin Sabiti connaissait sans doute par cœur l’ensemble du poème ou une partie de ce dernier, mais il n’avait noté à dessein que les deux vers utilisés pour une demande d’intercession bien précise.

Le succès d’al-Burda dans le monde musulman fut tel qu’il conduisit à sa traduction dans de nombreuses langues : le persan, le turc, le malais, et aussi plus tardivement, probablement au 19e siècle, le kiswahili – plusieurs exemplaires manuscrits ont été retrouvés dans différentes archives de la côte tanzanienne – et fait l’objet de très nombreux commentaires. Voici d’ailleurs les deux premiers vers en kiswahili[7] :

« Ni kwa kukumbuka jirani wema

walioko hapo bi Dhi Salama

umelitanganya tozi kwa dama

kwamba ma‘anaye ni haya sema.

Amma ni upepo kupita kwake

kutoka Kadhima janibu zake

amma ni umeme kwa nuru yake

kuinuka kiza hapo Idhama ? »

La traduction swahilie a été augmentée d’un prologue de onze vers où le traducteur explique sa démarche (dans le troisième vers, il dit ceci : « j’ai traduit et expliqué [ce poème], j’en ai éclairci la signification, car l’arabe a un sens caché que tout le monde ne peut saisir ») et d’un épilogue de 19 vers. Je n’ai pas – pas encore – trouvé de traces de cette traduction swahilie au Congo. En revanche, la version arabe reste bel et bien vivante dans le patrimoine musulman congolais, cent trente années après le cahier de Saidi bin Sabiti : en septembre 2023, à Kisangani, j’ai montré la photographie de la page en question à Oyoko Hamzati Hamza, qui a immédiatement récité, de mémoire, les premiers vers de la Burda en respectant une prosodie particulière. Dans les jours suivant, j’ai vu ces mêmes vers reproduits dans divers exemplaires du Majmū‘ al-mawlid imprimés en Inde – un recueil de poèmes lus à l’occasion du Mawlid. Quelques mois plus tard, je vis encore des exemplaires similaires à Kasongo, dans le Maniema. Ainsi, la poésie a bien sa place dans la culture de la communauté musulmane congolaise depuis plus d’un siècle…

al-Burda, repris dans un exemplaire du Majmū‘ al-mawlid, Kisangani 2023. Xavier Luffin, 2024.

En guise d’épilogue, je voudrais mentionner la suite étonnante du voyage de ce poème depuis l’Afrique, occidentale cette fois : parmi les esclaves envoyés du Golfe de Guinée aux Amériques, il y avait dès le 18e siècle de nombreux musulmans, et parmi eux quelques lettrés. Ces dernières années, plusieurs études intéressantes ont été menées sur les quelques documents qu’ils ont laissé derrière eux, notamment des talismans composés par des lettrés haoussas, les Malé, qui furent à l’instigation d’une fameuse révolte d’esclaves à Bahia en 1835, c’est d’ailleurs suite à la répression de cette révolte et à l’arrestation des insurgés que l’on a saisi comme pièces à conviction et conservé plusieurs de leurs talismans écrits en caractères arabes. Or, l’un d’eux contient notamment un vers de la fameuse Qaṣīdat al-Burda, que l’un de ces esclaves érudits arrachés à l’Afrique de l’Ouest pour travailler dans les plantations brésiliennes avait mémorisé et réutilisé, à la manière des deux vers de notre cahier, à des milliers de kilomètres de sa terre natale, pour ses vertus protectrices…[8]

Notes


[1] R. Basset, La bordah du cheikh El Bousiri. Poème en l’honneur de Mohammed, Paris, E. Leroux, 1894.

[2] Dhu Salam, Kâzimah, Idham : différents lieux de la péninsule Arabique, liés à la biographie de Muḥammad.

[3] Voir notamment Basset, op. cit., p. V.

[4] En arabe, on classe les poèmes selon leur rime – la même tout au long du poème, quelle que soit sa longueur : le même al-Būṣīrī a composé un autre poème célèbre, al-Hamziyya, nommé ainsi car chaque vers se termine par la lettre arabe hamza, tandis qu’un autre poème célèbre du patrimoine arabe, dû à al-Shanfarā, s’appelle al-Lāmiyya, car ses vers se terminent par la lettre arabe lām.

[5] A. L. Bang, Localising Islamic knowledge: acquisition and copying of the Riyadha Mosque manuscript collection in Lamu, Kenya, in M. Kominko, From Dust to Digital Ten Years of the Endangered Archives Programme, Cambridge, Open Book Publishers, 2015, p. 142.

[6] S. P. Stetkevych, From Text to Talisman: Al-Būṣīrī’s « Qaṣīdat al-Burdah » (Mantle Ode) and the Supplicatory Ode, Journal of Arabic Literature, Vol. 37, No. 2 (2006), p. 146.

[7] J. Knappert, Swahili Islamic Poetry, Leiden, Brill, II, p. 165. La Hamziyya d’al-Būṣīrī, mentionnée plus haut, fut également traduite en kiswahili.

[8]  À ce propos, voir notamment N. Dobronravin, « Não só mandingas… », Afro-Ásia, 53 (2016), 185-226.